Nimekuweka baadhi ya picha za tamasha hilo kama lilivyofanyika hapo jana,
![]() |
Pastor Safar Paul wa kanisa la DPC akifungua tamasha kwa neno |

![]() |
Kundi la the Voice wakiperfom |
![]() |
John Lisu akiperfom huku mke wake,Nelly akiwa katika Acoustic Guitar |



![]() |
Mise Anael ndani ya Saxaphone akienda sawa wakti wa tamasha hilo |


