
![]() |
Nicole Mullen hapa akiimba My Redeemer Lives, nyimbo hii na nyingine nyingi zitapigwa live kwenye Tamasha hilo 11-12 Agosti |
![]() |
Nicole Mullen |
![]() |
Nicole Mullen |
Mwanamuziki Dave Lubben |
kutoka Tanzania hadi sasa wanamuziki watakaopanda katika stage moja na Don Moen ni pamoja na Christina Shusho,kundi la The Voice,John Lisu, Masanja Mkandamizaji, na kikundi cha Praise and worship
![]() |
Christina Shusho mmoja wa wanamuziki toka Tanzania atakayepanda stage moja na Don Moen siku hiyo |
![]() |
Christina Shusho mwanamuziki toka Tanzania nae ataonyesha umahiri wake katika kumwimbia Mungu katika Tamasha hilo |
![]() |
Kundi Maarufu kwa Acapella nchini Tanzania, almaarufu kama THE VOICE nao wamejipanga kisawasawa kuonyesha uwezo wao wa kupiga Acapella mbele ya Don Moen na Nicole Mullen siku hiyo |
Tazama hii Video ili kuona namna mazoez ya praise and worship yanavyoendelea special kwa tamasha hili la Ipende Tanzania
zaidi sana kuhusu Tamasha hili Tazama hii Video hapa chini